Tuesday, September 9, 2008

ANDRIY MYKOLAYOVYCH SHEVCHENKO


Andriy maykola shevchenko alizaliwa septemba 29, 1976 katika mji wa Dvirkivshchyna nchin Ukraine.
Aprili 1986 akiwa na umri wa miaka tisa sheva na familia yake waliishi maisha ya wakimbizi baada ya kijiji chao kuathiriwa na mionzi ya mabomu ya nyuklia na hivyo kuhamia katika pwani ya mashariki karibu na jiji la Donetsk ili kuepuka madhara ya kemikali za nyuklia.
Baba wa sheva mykola alikuwa ni fundi katika jeshi la ukraine wakati mama yake Lyubov alikuwa ni nesi hivyo kuhama kwao kulitoka na ufahamu wao kwamba jambo lolote baya lingeweza kutokea kwa familia hiyo na nyingine.
Akiwa mdogo sheva pia aliwai kucheza michezo mbalimbali kama ngumi aliolazimika kuuacha kwa kuwa hakuwa na mwili uliojengeka vizuri, pia alishiriki katika mieleka, ice hockey na mpira wa kikapu. Hata hivyo baadaye aliangukia katika soka na kulamba dume, alipoulizwa kulikoni alisema "soka iliupendeza moyo wangu nilichagua soka, soka nayo ikanichagua mimi sikuweza kupenda gofu kwa sababu ukraine hakukuwa na viwanga vya golfu".

AKIWA DYNAMO KIEV
Mwaka 1986 sheva alifeli vibaya mtihani wa soka wa kupiga chenga ambao ungemwezesha kujiunga na shule maalumu ya soka lakini aliendelea kucheza soka akiwa na miaka 13 alijiunga na timu ya vijana wadogo ya Dynamo Kiev baada ya kuvutiwa na kipaji chake.
Ambapo alishiriki katika michuano ya chini ya miaka 14 iliyojulikana ka IAN RUSH CUP {sasa welsh super cup} nchini wales na kuibuka mfungaji bora na kuzawadiwa pair ya viatu na mchezaji wa zamani wa liverpool IAN RUSH
Msimu wa mwaka 1992-92 sheva alikuwa mfungaji bora wa Dynamo akiwa amefunga magoli 12 huku akiwa ameanza kucheza mechi 11.
Na kufanikiwa kunxakua kombe la ligi.
Msimu unaofuatia sheva alifunga magoli sita katika mechi 20 alizocheza.
1998-98 sheva alifanikiwa kufuna hat-trick yake ya kwanza ni katika michuano ya kombe la club bingwa ulaya katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Barcelona.
Pia alifanikiwa kufunga magoli 19 katika mechi 23 za ligi na magoli 6 katika mechi 10 za ligi ya mabingwa ulaya na kumfanya awe amefunga magoli 28 katika michuano yote. Pia alifanikiwa kunyakua ubingwa wa ligi kwa msimu wa tano.


AKIWA AC MILAN.
1999 sheva alijiunga na ac milan kwa uwamisho wa rekodi katika serie a kwa ada ya dola za kimarekani milioni 25.
Alianza kucheza mechi yake ya kwanza agosti 28, 1999 katika mechi ambayo walitoka sare 2-2 na US-Lecce.
Sheva amekuwa mchezaji wa kwanza wa kigeni kuibuka mfungaji bora katika serie A akiwa amefunga magoli 24 katika mechi 32 alizocheza.
Sheva anakuwa mchezaji wa kwanza toka ukraine kutwaa kombe la club bingwa ulaya ni baada ya kuwafunga maasimu wao kwa mikwaju ya penati mwaka 2003 na kuchukua kombe na alikwenda nalo mpaka kwenye kaburi la kocha wake wa zamani Valery Lobanovsky, akidai kwamba ni heshima kwa kocha huyo kwa msaada aliompa hadi kufikia hatua ya kuwa mmoja wa wanasoka bora duniani.
Mwaka 2004 sheva alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa ulaya na kumfanya kuwa mchezaji wa tatu toka ukraine kutwaa tuzo hiyo wengine ni Oley Blokhin na Igor Belanov.
Februari 8, 2006 sheva alikuwa mmchezaji wa pili kwenye club ya Ac milan nyuma ya Gunnar Nordahl kwa goli alilofunga dhidi ya Trevido.


AKIWA CHELSEA.
Sheva alisajiliwa toka ac milan kwa ada ya paundi za uingereza milion 30 na kuvunja rekodi ya Michael Essien.
Alianza kucheza mechi ya kwanza akiwa chelsea august 13, 2006 katika mechi ya kuwania ngao ya hisani na kufanikiwa kufunga goli kwenye mechi ambayo walifungwa 2-1 na liverpool.
Agosti 23 2006 sheva alifunga goli lake la kwanza katika ligi na goli la 300 katika historia yake ya soka katika mechi waliofungwa 2-1 dhidi ya Middlesbrough.




AMERUDI AC MILAN
Agosti 23, 2008 ac milan walitangaza kumsajili sheva toka chelsea kwa ada isiyotangazwa lakini ni dili linalohusu mkopo.
Sheva anakuwa mchezaji wa tatu baada ya Ronaldinho na Flamin kuchagua jezi ilikuwa na namba ya mwaka aliozaliwa 76 ni baada ya kukuta Alexandre Pato kuvaa jezi namba 7.
Agosti 31, 2008 sheva alirudi katika rerie A kwa kuingia kipindi cha pili akipishwa na Merek Jankulovsk katika mechi waliofungwa 2-1 na Bologne.


MECHI ZA KIMATAIFA
Sheva amecheza mechi 82 na kufanikiwa kufunga magoli 36.
Sheva alianza kufunga goli katika timu ya taifa may 1996 katika mechi ya kirafiki dhidi ya Uturuki.
Sheva alifunga magoli 10 katika mechi za kuwania kufuzu kombe la dunia 2002 lakini hawakufuzu ni baada ya kufungwa na Ujerumani.
Alifunga jumla ya magoli matano katika mechi za kufuzu michuano ya ulaya 2008.


MAISHA YAKE BINAFSI.
Sheva amemuoa mwanamitindo wa kimarekani Kristen Pazak walipokutana katika Giorgio Arman mwaka 2002, na kufunga ndoa july 2004 na kufanya sherehe yeke mwenyewe katika uwanja wa golfu huko Washington DC na kuwasiliana na wenzake walio itali.
Sheva alijiuna na chelsea ni kutokana na kuwa na urafiki na mke wa Abromovich pia alitaka watoto wake wawe na utamaduni wa kuongea lugha ya kingereza.
Sheva ana watoto wali Jordan{alimpa jina la mkongwe wa kikapu wa NBA Michael Jordan} aliyezaliwa october 29, 2004 na Christian aliyezaliwa Novemba 10, 2006.
2005 juni alitangazwa kuwa balozi wa watoto wanaoishi kwenye mazimira magumu vijijini.

Tuesday, August 26, 2008

ZINEDINE YAZID ZIDANE "ZIZOU"




MAISHA YA ZIDANEZidane ni malgeria ambaye alizaliwa ufaransa, wazazi wake walikuwa wanakaa katika jimbo la KABYLIE kijiji cha AGUEMONE na kuhamia ufaransa katika jiji la paris mwaka 1953 na baadaye kuhamia MARSEILLE.
Ambapo tarehe 23 june 1972 zidane alizaliwa katika jiji la marseille na kuepewa jina la utani la ZIZOU.
Kiungo huyu wa zamani wa ufaransa alikuwemo kwenye kikosi ambacho kilitwaa ubingwa wa dunia mwaka 1998 na EURO 2000 na kupata mpira wa dhaabu baada ya kuingoza ufaransa katika kombe la dunia mwaka 2006 katika mechi ambayo alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumpiga beki wa italy marco materazzi kichwa.
Amecheza club nne na kutwaa club bingwa ulana akiwa na Real Madrid mwaka 2002.
Ni mmoja kati ya wachezaji wawili kuwa wachezaji bora mara tatu mwinine ni RONALDO DE LIMA
Alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa ulaya mwa 1998.
Mwaka 2004 mashabiki walimchagua kuwa UEFA 15 unnversary golden jubilee pull na ni kujumuishwa na pele katika orodha ya wachezaji 100 bora baada ya kustaafu soka mwaka 2006.
Lakini mwaka june 2008 alifanyiwa mahojiano na BBC na kusema kwamba anatamani kurudi kucheza mpira kwani anashughuli yeyote ya kufanya.

AKIWA CANNES & BORDEAUX 1988-1996
Zidane aliaza kucheza mpira katika timu ya vijana ya us saint henri ambayo ni ya mitaani katika jimbo la La Castellane akiwa na umri wa miaka kumi na nne.
As cannos scout Jean Varraud alimchukua na kujiunga na AS CANNES.
Zidane alianza kucheza ligue 1 akiwa na miaka 17 na alifunga goli lake la kwanza 8 february 1991 na akazawadiwa gari na raisi wa timu kwa msimu wa kwanza kwa kuiwezesa cannes kucheza katika kombe la UEFA.
Zidane aliamia BORDEAUX msimu wa mwaka 1992-93 na kushinda kombe la intertoto na kushika nafasi ya pili katika kombe la UEFA.1995-96
Kwamiaka minne alijenga ushirikiano na BIXENTE LIZARAZU na CHRISTOPHE DUGARY ambaye sasa ni afisamasoko wa Bordeux na mwaka 1998 walikuwa wote kwenye timu ya taifa.
Mwaka 1995 kocha mkuu wa b'burn rovers Kenny Dalgish alimueleza mmiliki wa timu kuwa ana taka kumsajili zidane na dugary mmliki wa timu JACK WALKER alimjibu na kusema kwanini zidane wakati tunaye TIM SHEXWOOD.

JUVENTUS
Mwaka 1996 zidane alihamia kwenye club bingwa ya ulaya juventusfc kwa ada ya £3 million.
Zidane alikuwa mchezaji chaguo la kwanza la kocha marcello Lippi na kunyakuwa ubingwa wa scudetto mwaka 1996-97 na ubingwa wa mabara kwa ushindi wa bao 1-0 walilowafunga river plate.
Nakufanikiwa kufika fainaili ya champions league na juventus na kufungwa goli 3-1 na Borussia Dortmund.
Alifunga goli saba katika mechi 32 alizocheza na kuisaidia juvenus kushika nafasi ya pili katika fainali ya club bingwa kwa kufungwa na real madrid kwa goli 1-0.
Mwaka 2000-01 katika ligi ya serie A juve ilimaliza ikiwa nafasi ya pili nyuma kwa poiti 2 kwa mabingwa AS ROMA.
Zidand alitolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kwa kumpiga kichwa mchezaji wa HAMBURGERSV JACHEN KIENTZ mwaka 2000-01.
Alifanikiwa kufunga magoli 24 kwa muda wote aliocheza juve, alifanikiwa kunyakuwa intercontinental cup 1999 na intertoto cup na makombe mawili ya scudetti.

REAL MADRID 2001-06
Mwaka 2001 zidane alijiunga na real madrid kwa €76 milioni na kufanya kuwa mchezaji ghali kuliko wote katika historia ya soka na alisaini mkataba wa miaka minne.
Mwaka 2002 walifanikiwa kunyakua kombe la club bingwa ulaya kwa kuifunga BAYER LEVERKUSEN kwa magoli 2-1 katika jiji la GLASGOW pia walipata kombe la EUROPEAN SUPER CUP na SPANISH SUPER CUP.
2003 zidane alitajwa kuwa mchezaji bora wa dunia wa fifa wa mwaka na kuungana na RONALDO kwa kuwa wachezaji pekee kuwa wachezaji bora mara tatu.
Alifunga hat-trick katika ushindi wa goli 4-2 dhidi ya sevilla.
Zidane aliishia nusu fainali ya kombe la COPA DEL REY na kumi na sita bora ya club bingwa ulaya, na kumaliza ligi ikiwa nyuma kwa pointi 12 kwa BARCELONA.
7 may 2006 zidane alitangaza kustaafu soka kabla ya kucheza mechi ya mwisho ya nyumbani BERNABEU na kutoka sare ya 3-3 na VILLAREAL CF
Na wachezaji wenzake wakiwa na jersey ikiwa imeandikwa "ZIDANE"2001-06.

SOKA LA KIMATAIFA
Zidane alikuwa ni raia wa ufaransa na algeria yeye alipenda kucheza timu ya taifa ya algeria lakini kocha ABDELHAMID KERMALI akumtaka kwenye kikosi chake akidai bado mdogo sana na katika nafasi ya kiungo.
Mwaka 2005 zidane alipinga uvumi wa kuwa awezi kuchezea timu ya taifa ya algeria kwakuwa ameipenda ufaransa.
Mwaka 1998 zidane aliweza kuiongoza ufaransa vizuri na kufanikiwa kutwaa kombe la dunia kwa kuitandika brazil kwa magoli 3-0.
Mwaka 2000 aliiwezesha ufaransa kutwaa kombe la ulaya kwa kuifunga italy
Mwaka 2002 zidane akucheza mechi mbili za makundi katika michuano ya kombe la dunia kwa kuwa majeruhi lakini alicheza mechi ya tatu na kufanya kutolewa katika hatua ya makundi wakiwa hawajafunga goli hata moja.
Mwaka 2006 aliisaidia ufaransa kufika fainali ya kombe la dunia lakini alitolewa nje kwa kadi nyekundu katika dakika ya 110 kwa kumpiga kichwa beki wa italy MARCO MATERAZZI.
Alifunga goli kwa mkwaju wa penati na kumfanya awe mmoja wa wachezaji wanne kufunga katika fainali mbili tofauti wengine ni PELE,VAVA na PAULO BREITNER na PELE VAVA na GEOFT HURST ni wachezaji waliofunga magoli matatu katika fainali za kombe la dunia.

UGOMVI NA MARCO MATERAZZI
Zidane na beki wa italy marco materezzi walikuwa wanaongozana uwanjani lakini zidane alisimama na kumpiga kichwa cha kifua lakini refaree HARACIO EIZONDO akumuona mpaka pale alipopewa taarifa na kamisaa LUIS MEDINA na kupewa kadi nyekundu katika dakika ya 110.

Friday, August 22, 2008

EDISON ARANTES DO NASCIMENTO"PELE"



Pele alizaliwa october 23 1940 huko TRES CORACOES BRAZIL.
Anaurefu wa 1.74m{5ft0.5in}
Alizaliwa na JOAO RAMOS DO NASCIENT mchezaji wa zamani wa FLUMINENSE aliyejulikana kama DENDINHO na MARIA CELESTE ARANTES walimpa jina la inventor wa kimarekani THOMAS EDISON na jina lake la utani alijulikana kama DICO katika familia yake.
Alipata jina la utani la PELE akiwa anasoma shule. Pele aliitwa kutokana na makosa ya kimatamshi lililotokana na jina la golikipa wa zamani wa vasco da gama "BILE" na kulibadilisha na kuitwa "PILE" jina ambalo akulipenda.
Pele alisimamishwa shule kwa kumpiga mwanafunzi mwenzake kwa kumwita jina hilo.
BILE walilipeleka kwenye lugha ya ki irishi na likasomeka PEILE likimaanisha FOOTBAL.
Pele alikulia kwenye maisha ya kimaskini huko Baura Sáo Paulo.
Alijipatia fedha kwa kubrashi viatu vya club ya Baura Athletic kwenye siku za mechi.
Pele alianzakutengeneza mpira wa makaratasi ya magazeti na kamba na kuweka soksi au matunda yaliyokaa kama mpira.
Mwaka 1954 vilabu vya america vilimtamani pele ambaye alijiunga na timu ya Baquinho boys timu ambayo ilikuwa inanolewa na mchezaji wa zamani wa kimataifa wa brazil WALDEMAR DE BRITO ambaye alishiriki kwenye kombe la dunia mwaka 1934 huko italy.
AKIWA SANTOS
Mwaka 1956 DE BRITO alimchukua pele na kumpeleka santos huko sao paul kujaribu soka la kulipwa na club ya santos futebol clube.
Akiwa na miaka 15 alikuwa mchezaji mkubwa duniani.
Akiwa santos pele alifanikiwa kucheza na wachezaji wakubwa sana duniani kama zito pele na coutinho ambao alicheza nao moja mbila na kufunga magoli.
Pele alifanikiwa kufunga goli lake la kwanza akiwa na jezi ya santos tarehe 7 september 1956 katika ushindi wa goli 7-1 katika mechi ya kirafiki dhidi ya Corinthians.
Wakati unaanza mwaka 1957 pele alianza katika timu ya kwanza akiwa na umri wa miaka 16 na kuwa mfungaji bora katika ligi miezi kumi baada ya kusaini mkataba.
Kocha mkuu wa timu ya taifa alimwita kwenye timu ya taifa ya brazil.
Baada ya fainali za kombe la dunia za mwaka 1962 vilabu vikubwa ya ulaya vilitoa ofa ya kumsajili kijana huyu lakini selikari ya brazil ilikataa na kusema pele ni kivutio cha taifa kwahiyo awezi kuondoka nchini mwake.
Nov 19, 1969 pele alifunga goli lake la elfu moja 1000 katika michuano yote ilikuwa dhidi ya vasco da gama kwa njia ya penati katika uwanja wa Maracana na kulidedicate kwa watoto wote wanaoishi kwenye maisha ya kimaskini nchini brazil.
Pele alifunga goli zuri katika uwanja wa compeonato paulistu ilikuwa mechi dhidi ya sao paulo 2, august 1959. Kulikuwa hakuna video iliyochukua mechi hiyo ambayo ilishindwa kuwekwa kwenye computer.
March 1961 pele alifunga goli lililojulikana ka "goal of plague" ilikuwa dhidi ya fluminese katika uwanja wa wa Maracana na kulifanya kuwa goli zuri kuliko yote yaliyo wahi kutokea katika uwanja wa MARACANA.
1967 huko nigeria walisimamisha vita ya wenyewe kwa wenyewe kwa masaa 48 kwa kumuangalia pele katika mchezo uliofanyika lagos.
NEW YORK COSMOS
Baada ya msimu wa mwaka 1972 akiwa na santos pele alistafu katika club hiyo ya brazil baada ya miaka miwili baadaye pele alijiunga ya New york cosmos ya amerika kaskazini soccer league {NASL} akiwa marekani pele aliweza kufunga magoli ya ticktack au bicycle kick na kusababisha watu wengi wafungulie kituo cha tv cha michezo cha sports tv series, ABC'S wide world of sport.
Oct.1.1977 pele alicheza mechi yake ya mwisho ya kumuaga kati ya cosmos na santos. Santos walikuja New york na New jersey na kuibuka na ushindi wa goli 2-0 mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Giants na kurushwa na kituo cha television cha ABC'S wide world of sports na kuonekana kote duniani.
Baba na mke wake waliudhurha mechi hii.
Kabla ya mechi pele aliutubia na kusena "LOVE" mara tatu.
Kipindi cha kwanza pele alicheza timu ya cosmos na kipindi cha pili alicheza santos.
Reynaldo alifunga goli la kwanza baada ya kumalizia cross.
Pele alifunga goli la pili kwa njia ya adhabu.
Katika kipindi cha mapumziko pele alivua shirt no 10 na kumpelekea baba yake alisindikizwa na mchezaji mwenzake wa cosmos Ramon Mittlin ambaye alimbadili pele ambaye alifunga goli na kufanya matokeo yawe2-1 na baada ya mechi pele alishika bendela ya marekani mkono wa kulia na bendela ya brazil mkono wa kushoto.
Wakati anacheza mpira alijulikana kam MFALME WA MPIRA{o rei do futebol} MFALME PELE {o rei pele}
Aliitwa kwenye timu ya taifa akiwa na umri wa miaka 16 na kunyakua kombe la dunia akiwa na umri wa miaka 17.
Muda wote aliokuwa anacheza pele alikuwa mfungaji bora katika timu ya taifa ya brazil.
Na ni mchezaji pekee kushinda makombe matatu ya kombe la dunia.
Mwaka 1962 alijumuishwa kwenye kikosi cha brazil na alipata majeruhi na kufanya asipewe medali.
Nov 2007 FIFA walitangaza kwamba anastahili kupata medali ya mwaka 1962. Na kumfanya awe mchezaji peke kutwaa medali ya kombe la dunia.
Tangu amestaafu 1977 pele amekuwa balozi wa mpira katika FIFA na kivutio cha serikali ya brazil.
Pia alichaguliwa kuwa mchezaji wa karne na kupewa tuzo na international olympic committee.

Wednesday, July 2, 2008

FIFA WORLD CUP HAT-TRICKS



Ni hat-trick 49 ambazo zimefungwa katika mechi 764 katika michuano 19 ya kombe la dunia.
Hat-trick ya kwanza alifunga BERT PETENAUDE wa USA dhidi ya PARAGUAY mwaka 1930 ya FIFA kombe la dunia.
Michuano pekee ya kombe la dunia ambayo ilikuwa haina hat-trick ni ya mwaka 2006 iliyofanyika GERMANY.
Rekodi ya idadi kubwa ya hat-trick katika michuano mmoja ya kombe la dunia ni ile ya mwaka 1954 iliyofanyika nchin SWITZERLAND ni hat-trick nane zilifanikiwa kufungwa
wachezaji wanne waliofunga hat-trick mbili katika michuano ya kombe la dunia ni
1.SANDOR KOCSIS ZOTE 1954
2.JUST FONTAIN ZOTE 1958
3.GERD MULLER ZOTE 1970
4.GABRIEL BATISTITUTA 1994 & 1998
OLEG SALENKO ni mchezaji pekee aliyefunga magoli matano katika mechi moja mwaka 1994 kombe la dunia dhidi ya RUSSIA na CAMEROON.
KOCSIS na MULLER walifunga hat-trick katika mechi mfululizo.
Wachezaji watatu waliofunga hat-trick huku timu zao zikiwa zimefungwa ni
1.ERNEST WILIMOWSK 1938{5-6}
2.JOSEF HUGI 1954{5-7}
3.IGOR BELANOV 1986{1986}
Mchezaji pekee aliyefunga hat-trick kwenye fainali ya kombe la dunia ni GEOFF HURST dhidi ya WEST GERMANY mwaka 1966.
Wachezaji pekee waliofunga hat-trick kwa magoli ya vichwa ni
1.TOMAS SKUHRAVY mwaka 1990
2.MIROSLAV KLOSE mwaka 2002.
Mchezaji kijana kuliko wote kufunga hat-trick ni PELE akiwa na umri wa miaka 17 na siku 244.
Na mchezaji mkubwa kuliko wote kufunga hat-trick ni TORE KELLER akiwa na umri wa miaka 33 na siku 159.
Hat-trick 48 za kombe la dunia ni kama zifuatazo:
1.BERT PATENAUDE mwaka 1930 USA vs PARAGUY
2.GUILLERMO STABILE mwaka 1930 ARGENTINA vs MEXICO
3.PEDRO CEA mwaka 1930 URUGUY vs YUGOSLAVIA
4.ANGELO SCHIAVIO mwaka 1934 ITALY vs USA
5.EDMUND CONEN mwaka 1934 BELGIUM vs GERMANY
6.OLDRICH NEJEDLY mwaka 1934 CZECHOSLOVAKIA vs GERMANY
7.ERNEST WILLIMOWSKI mwaka 1938 POLAND vs BRAZIL
8.LEONIDAS DA SILVA mwaka 1938 BRAZIL vs POLAND
9.GUSTAV WETTERSTON mwaka 1938 SWEDEN vs CUBA
10.TORE KELLER mwaka 1938 SWEDEN vs CUBA
11.GYULA ZSENGELLER mwaka 1938 HUNGARY vs SWEDEN
12.OSCAR MIGUEZ mwaka 1938 HUNGARY vs SWEDEN
12.OSCAR MIGUEZ mwaka 1950 BOLIVIA vs URUGUY
13.ADEMIR MARQUES DE MENEZES mwaka 1950 BRAZIL vs SWEDEN
14.SANDOR KOCSIS mwaka 1954 URUGUY vs R.KOREA
15.ERICH PROBST mwaka 1954 AUSTRIA vs CZECHOSLOVAKIA
16.CARLOS BORGES mwaka 1954 URUGUY vs SCOTLAND
17.SANDOR KOCSIS 1954 HUNGURY vs W.GERMAY
18.BURHAN SARGIN 1954 TURKEY vs R.KOREA
19.MAX MARLOCK 1954 W.GERMANY vs TURKEY
20.THEODOR WAGNAER 1954 AUSTRIA vs SWITZERLAND
21.JOSEF HUGI 1954 SWITZERLAND vs AUSTRIA
22.PELE 1954 BRAZIL vs FRANCE
23.JUST FONTAINE 1958 FRANCE vs PARAGUY
24.JUST FONTAINE 1958 FRANCE vs W.GERMANY
25.FLORIAN ALBERT 1962 HUNGARY vs BULGARIA
26.EUSEBIO 1966 PORTUGAL vs KOREA DRP
27.GEOFF HURST 1966 ENGLAND vs W.GERMANY
28.GERD MULLER 1970 W.GERMANY vs BULGARIA
29.GERD MULLER 1970 W.GERMANY vs PERU
30.DUSAN BAJEVIC 1974 YUGOSLAVIA vs ZAIRE
31.ANDRZEJ SZARMARCH 1974 POLAND vs HAITI
32.ROB RENSENBRINK 1978 HOLAND vs IRAN
33.TEOFILO CUBILLAS 1978 PERU vs IRAN
34.LASZLO KISS 1982 HUNGARY vs EL SALVADOR
35.KARL HEINZ RUMMENIGGE 1982 W.GERMANY vs CHILE
36.ZBIGNIEW BONIEC 1982 POLAND vs BELGIUM
37.PAOLO ROSSI 1982 ITALY vs BRAZIL
38.PREBEN EL KAJAER LARSEN 1986 DENMARK vs URUGUAY
39.GARY LINEKER 1986 ENGLAND vs POLAND
40.IGOR BELANOV 1986 USSR vs BELGIUM
41.EMILIO BUTRAGUENO 1986 SPAIN vs DENMARK
42.MICHAEL 1990 SPAIN vs R.KOREA
43.TOMAS SKUHRAVY 1990 CZECHOSLOVAKIA vs COSTA RICA
44.GABRIEL BATISTUTA 1994 ARGENTINA vs GREECE
45.OLEG SALENKO 1994 RUSSIA vs CAMEROON
46.GABRIEL BATISTUTA 1998 ARGENTINA vs JAMAICA
47.MIROSLAV KLOSE 2002 GERMANY vs SAUD ARABIA
48.PAULETA 2002 PORTUGAL vs POLAND
49.HIGUAN 2010 ARGENTINA VS S.KOREA

Tuesday, July 1, 2008

STEVEN GEOGRE GERRARD





Steven Gerrard alizaliwa tarehe 30 May 1980 katika kitongoji cha WHISTON nchini ENGLAND ana urefu wa fut 6 anacheza nafasi ya kiungu katika timu ya LIVERPOOL na ENGLAND.
Gerrard alianza kuchezea timu ya mtaa ya WHISTON na akiwa na umri wa miaka 8 alijiunga na accademy ya liverpool na kufanikiwa kucheza mechi kama 20 akiwa na umri wa miaka 14 na 16.
Gerrard alisahini kucheza liverpool tarehe 5 NOV 1997 akilipwa £700 kwa wiki.
1998-99 Gerrard alicheza mechi ya kwanza tarehe 29 NOV 1998 katika kipindi cha pili akiingia kama mchezaji wa akiba akimbadili VEGARD HEGGEM dhidi ya B'BURN na alianza kipindi cha kwanza katika mechi ya kombe la UEFA dhidi ya CELTA VIGO kutokana na JAMIE REDKNAPP, kwa msimu huo gerrard alicheza mechi 13.
1999-00 Gerrard alifunga goli lake la kwanza katika ushindi wa goli 4-1 dhidi ya SHEFFIELD WEDNESDAY.
2000-01 Gerrard alifunga goli lake katika fainali ya kombe la uefa katika ushindi wa goli 5-4 dhidi ya DEPORTIVO ALAVES, pia alichaguliwa kuwa mchezaji bora chipukizi wa mwaka wa PFA.
2002-2003 Gerrard alifunga goli la kwanza katika ushindi wa goli 2-0 dhidi ya mahasimu wao wakuu MAN U katika mcheza wa ngao ya hisani.
2003-04 HOULLER alimchagua gerrard kuwa captain akimbadili SAMI HYPPIA, OCT 2003 Gerrard alisahini mkataba wa miaka minne na ambao alilipwa £60000 kwa wiki, Gerrard anakuwa mchezaji wapil kuwa captain akiwa na umri mdogo mwingine ni DIDIER DESCHAMPS.
Gerrard ni mmoja kati ya wachezaji wawili waliofanikiwa kufunga magoli katika fainali mbili za kombe la UEFA na CHMPIONS LEAGUE mwingine ni DIMITRI ALENICHEV wa FC PORTO.
Gerrard anachaguliwa kuwa mchezaji bora wa UEFA champions league pia alichaguliwa na gazeti la michezo la L'EQIPES PRESTIGOUS BALLON D'OR AWARD, Gerrard alichaguliwa kuwa mwanamichezo wa mwaka 2005 na BBC Pia alikuwa mchezaji bora watatu wa mwaka 2005.
2005-06 anafunga goli la 23 katika mechi 53 alizocheza katika fainali ya kombe la FA.
Pia anachaguliwa kuwa mchezaji bora wa PFA na kuwa mchezaji wapili wa l'pool kutwaa tuzo hiyo tangu JOHN BARNES mwaka 1998
goli la fainali ya kombe la FA linamfanya Gerrard kuwa mchezaji pekee wa ENGLAND kufunga katika fainali nne tofauti yani
FA CUP 2006 vs WEST HAM
LEAGE CUP 2O03 VS MAN U
UEFA CUP 2001 VS DEPORTIVO ALAVES
CHAMPIONS LEAGUE 2005 VS AC MILAN